Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
SHIMIWI YAPATA UDHAMINI WA VIFAA VYA MICHEZO
-
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKISHO la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala za Serikali na Ofisi za
Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI) wamepata udhamini wa vifaa mbalimbali...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment