Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
RAIS DKT. MWINYI: SMZ INATHAMINI MCHANGO WA MAWAKILI KWA WANANCHI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amekihakikishia Chama cha Mawakili Zanzibar kuwa Serikali
inathamini...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment