Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
HUU NDIO UTOFAUTI WA CCM NA VYAMA VINGINE - KIHONGOSI
-
Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Komredi Kenani Labani Kihongosi,ametembelea Shina Namba 7 la CCM katika
Tawi la Many...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment