Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
Wednesday, September 23, 2009
Mtaala mpya wa Mafunzo ya Ualimu watolewa
Posted by
Adam
at
6:34 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment