Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
MNGEZA B BINGWA WA ERASTO CUP MUHEZA,HALMASHAURI KUWAUNGA MKONO MADIWANI
WATAKAOANZISHA LIGI KWENYE MAENEO YAO
-
Na Oscar Assenga,MUHEZA.
HALMASHAURI ya wilaya ya Muheza Mkoani Tanga imesema kwamba itaendelea
kuwaunga mkono madiwani ambao watakaoanzisha Ligi mbalimba...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment