Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA
BAISKELI .
-
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati
wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya
msaada ukilen...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment