Wednesday, September 23, 2009

Mtaala mpya wa Mafunzo ya Ualimu watolewa

Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.

Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups

No comments: