Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
KESI YA UHAINI YA TUNDU LISSU YAENDELEA MAHAKAMANI DAR ES SALAAM
-
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Tundu Antiphas Lissu, imeendelea leo Oktoba 15, 2025, katika
Mahakam...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment