Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
MRADI WA KIMKAKATI WA UTAFITI WA MAFUTA NA GESI WAENDELEA MIKOA MITANO
-
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linaendelea kutekeleza
mradi mkubwa wa kimkakati wa utafiti wa mafuta na gesi asilia katika kitalu
cha E...
4 hours ago

No comments:
Post a Comment