Wiki iliyopita wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada. Pamoja na ukweli kuwa kwa kiasi fulani upimaji katika somo la Sayansi kwa njia yaVitendo umezingatiwa katika muhtasari hiyo Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni umebainisha kuwa vyuo vya Ualimu 16 vya serikali hapa nchini havina maabara kwa ajili ya mafunzo ya somo la sayansi kwa vitendo.Kutokana na hali hiyo kwa muda mrefu sasa Balaza la Mitihani la Taifa limekuwa likiwatahini walimu katika ngazi ya Diploma na Cheti kwa njia ya Nadharia jambo linalopelekea kufa kwa misingi ya Sayansi kwa wanafunzi na walimu wetu.
Kama wadau wa Elimu hapa nchini tufanye nini kurekebisha hali hii? TAFAKARI!!!!
POCHI YA RAIS SAMIA YAFUNGUKA//BIL 98.893 KUIMARISHA ELIMU YA SEKONDARI
MBEYA NA MTWARA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
zaidi ya Shilingi Bilioni 98.893 kwa ajili ya kuimarisha sekta ya elimu
katika m...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment