Anaweza kuwa alifanya makosa, alikuwa binadamu;
Wanaweza kutofautiana naye nia kama viongozi, aliipenda zaidi Tanzania;
Wanaweza kujifanya wanamuenzi kinafiki; walianza tangu zamani;
HATA HIVYO NI VEMA, WAKASIKIZA NA KUZINGATIA MANENO YA MWALIMU ILI CHAMA NA TAIFA LISIENDE MRAMA:
"Kila mtanzania, kila mtu kijijini, kila mjumbe wa halmashauri ya wilaya, kila mbunge n.k lazima aweze kusema kwa uhuru bila hofu ya vitisho ama katika mkutano ama nje ya mkutano" J. K. Nyerere (1974) kwenye Binadamu na Maendeleo
"Watu wenye mawazo tofauti, hata kama wakiwa wachache, lazima wawe na haki ya kutoa mawazo yao katika majadiliano bila ya hofu ya kusumbuliwa; mawazo yao na yashindwe katika hoja za majadiliano, siyo kwa vitisho au mabavu." J. K. Nyerere (1974) kwenye Binadamu na Maendeleo.
Nawasilisha
HUU NDIO UTOFAUTI WA CCM NA VYAMA VINGINE - KIHONGOSI
-
Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Komredi Kenani Labani Kihongosi,ametembelea Shina Namba 7 la CCM katika
Tawi la Many...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment