Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
DKT. MWIGULU: WAFANYABIASHARA WASINYANG’ANYWE BIDHAA ZAO
-
WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maagizo kwa viongozi wa majiji na
halmashauri zote nchini kuhakikisha wafanyabiashara hawanyang’anywi bidhaa
zao ...
16 minutes ago




No comments:
Post a Comment