Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA WASHUHUDIA MAAJABU YA BUSTANI YA WANYAMA YA
'JAMBO ZOO'
-
Na Kadama Malunde - Shinyanga
Waandishi wa habari katika Manispaa ya Shinyanga kupitia Klabu ya Waandishi
wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Cl...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment