Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
MAC D MARATHON KUTIMUA VUMBI JULAI 4, WATOTO KUKIMBIA KILOMITA MBILI
-
MSIMU wa mbio za Mac D Promotions ‘ Mac D Marathon’ kwa mwaka 2026
unatarajiwa kufanyika Julai 4 mwaka huu katika viwanja vya Chuo cha Taifa
cha Ulinzi (...
33 minutes ago




No comments:
Post a Comment