Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
FUNGASHADA NA HATARI YA USALAMA WA ZAO LA NDIZI
-
Farida Mangube, Morogoro
Wakati serikali ikiendeleza mapambano dhidi ya magonjwa hatarishi kwa afya
ya binadamu, sekta ya kilimo nayo inakumbwa na changa...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment