Thursday, July 17, 2008

Washiriki wa kozi ya ICDL katika picha.

Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa

Washiriki wa kozi hiyo wakifanya maandalizi ya mwisho tayari kwa mtihani.

Somo hapa limekolea


Baadhi ya wakufunzi waliokuwa katika kituo cha Mpwapwa Tc wakiwa katika picha ya pamoja tayari kwa safari UDSM kwa ajili ya mitihani ya ICDL

No comments: