Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
COSTECH Yasisitiza Ulinzi wa Bunifu Kabla ya Kubiasharisha
-
Kibaha, Pwani
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesisitiza umuhimu wa
wabunifu kulinda bunifu zao kabla ya kuziingiza sokoni, kwa lengo ...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment