Napenda kuwafahamisha kuwa Vitabu vyangu vya "SAYANSI ENDELEVU" kwa sasa vinapatikana madukani.Sayansi Endelevu ni mfululizo wa vitabu vya sayansi ambavyo vimeandawa kwa kuzingatia muhutasari mpya wa sayansi uliotolewa mwaka 2005 na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.Vitabu hivi pamoja na Kiongozi cha Mwalimu vimeandaliwa kwa ustadi mkubwa kwa kuzingatia dhana na malengo ya yaliyokusudiwa kwa darasa husika.
Sayansi Endelevu ni mfululizo wa Vitabu vilivyoandaliwa na kampuni ya uchapishaji ya Longhorn Publishers [T] ltd na vimeidhinishwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kutumika kama Vitabu vya kiada Katika Shule za msingi hapa nchini.
Kwa mahitaji yako ya Vitabu hivyo,Tafadhali wasiliana nami kupitia anuani hapo chini au Piga simu namba 0714 18 44 65 au 0782 36 60 90 AU 0754 351 868
Au Andika kwa:
Longhorn Publishers [T] ltd
S.L.P 1237
DAR ES SALAAM
TANZANIA.
AU Fika Chuo cha Ualimu Vikindu na Uliza Mr. Malata AU Mr. Mpeka nawe utasaidika.
WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA
BAISKELI .
-
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati
wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya
msaada ukilen...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment