Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
UBUNIFU WA KISASA WA NM-AIST KUTATUA CHANGAMOTO YA USIMAMIZI WA TAKA
-
*Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.
Cosato Chumi (katikati), akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Utafiti
na Ub...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment