
Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
TUTAWADHIBITI WATAKAOSHIRIKI MAANDAMANO HARAMU- SIMBACHAWENE
-
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya ndani, George Boniface Simbachawene amesisitiza kuwa
maandamano yanayohamasishwa kufanyika kesho Jumanne Disemba 09, 2...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment