Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
POCHI YA RAIS SAMIA YAFUNGUKA//BIL 98.893 KUIMARISHA ELIMU YA SEKONDARI
MBEYA NA MTWARA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
zaidi ya Shilingi Bilioni 98.893 kwa ajili ya kuimarisha sekta ya elimu
katika m...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment