Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
WANAFUNZI TPC WADANDIA “KIBERENGE “CHA MIWA KURUDI MAKWAO ,ABC IMPACT WATOA
BAISKELI .
-
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya TPC wakionesha furaha yao wakati
wakiendesha baiskeli zilizotolewana taasisi ya ABC Impact kama sehemu ya
msaada ukilen...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment