Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
Vyama 18 vya siasa, Serikali na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wasaini
Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs
Mwambegele akisaini maadili ya Uchaguzi kwa niaba ya Tume. **Katibu Mkuu,
Ofi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment