Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
FUNGASHADA NA HATARI YA USALAMA WA ZAO LA NDIZI
-
Farida Mangube, Morogoro
Wakati serikali ikiendeleza mapambano dhidi ya magonjwa hatarishi kwa afya
ya binadamu, sekta ya kilimo nayo inakumbwa na changa...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment