Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
DC MANGOSONGO AAGIZA KUTENGWA MAENEO MAALUM YA MALISHO NA CHANJO KWA MIFUGO
-
Mwamvua Mwinyi, Mafia, Septemba 25,2025
Mkuu wa Wilaya ya Mafia, Aziza Mangosongo, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya
hiyo kutenga maeneo maalum kwa ajili ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment