
Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
TANZANIA YAELEZA MAFANIKO NA FURSA ZA UWEKEZAJI SEKTA YA MAKAZI KATIKA
KONGAMANO LA MIJI AFRICA
-
Na Munir Shemweta, WANMM NAIROBI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeelezea mafanikio yake katika
maendeleo ya miji na sekta ya makazi wakati wa...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment