Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
KANALI MTAMBI NA MKAKATI WA KUKOMESHA UVAMIZI MGODI WA NORTH MARA
-
Na Mwandishi wetu.
SERIKALI mkoani Mara ipo katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wa
mkakati mahsusi wa kukomesha matukio ya uvamizi wa mgodi wa Nor...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment