Wiki iliyopita wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada. Pamoja na ukweli kuwa kwa kiasi fulani upimaji katika somo la Sayansi kwa njia yaVitendo umezingatiwa katika muhtasari hiyo Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni umebainisha kuwa vyuo vya Ualimu 16 vya serikali hapa nchini havina maabara kwa ajili ya mafunzo ya somo la sayansi kwa vitendo.Kutokana na hali hiyo kwa muda mrefu sasa Balaza la Mitihani la Taifa limekuwa likiwatahini walimu katika ngazi ya Diploma na Cheti kwa njia ya Nadharia jambo linalopelekea kufa kwa misingi ya Sayansi kwa wanafunzi na walimu wetu.
Kama wadau wa Elimu hapa nchini tufanye nini kurekebisha hali hii? TAFAKARI!!!!
ORYX GAS YAPELEKA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI NA SALAMA YA GESI KWA WATUMISHI
WOTE WA SEKTA YA AFYA WILAYANI KWIMBA
-
Na Mwandishi Wetu,Kwimba
WATUMISHI wa idara ya afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba mkoani
Mwanza wamepatiwa mafunzo ya matumizi sahihi na salama ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment