Anaweza kuwa alifanya makosa, alikuwa binadamu;
Wanaweza kutofautiana naye nia kama viongozi, aliipenda zaidi Tanzania;
Wanaweza kujifanya wanamuenzi kinafiki; walianza tangu zamani;
HATA HIVYO NI VEMA, WAKASIKIZA NA KUZINGATIA MANENO YA MWALIMU ILI CHAMA NA TAIFA LISIENDE MRAMA:
"Kila mtanzania, kila mtu kijijini, kila mjumbe wa halmashauri ya wilaya, kila mbunge n.k lazima aweze kusema kwa uhuru bila hofu ya vitisho ama katika mkutano ama nje ya mkutano" J. K. Nyerere (1974) kwenye Binadamu na Maendeleo
"Watu wenye mawazo tofauti, hata kama wakiwa wachache, lazima wawe na haki ya kutoa mawazo yao katika majadiliano bila ya hofu ya kusumbuliwa; mawazo yao na yashindwe katika hoja za majadiliano, siyo kwa vitisho au mabavu." J. K. Nyerere (1974) kwenye Binadamu na Maendeleo.
Nawasilisha
MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA SULUHU HASSAN AKISALIMIANA NA KUOMBA KURA KWA
WANANCHI JIMBO LA UYOLE
-
Na Said Mwishehe,Mbeya
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akisalimiana Wananch...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment