Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
MAAFISA USHIRIKA WATAKIWA KUWA VINARA WA MAFANIKIO NCHINI.
-
Maafisa Ushirika wa vyama vya ushirika nchini wametakiwa kutumia ipasavyo
elimu na maarifa waliyoyapata katika mafunzo maalum ili kuwa chachu ya
mafanikio,...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment