Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
KAYA 7,816 TANGA ZANUFAIKA NA MPANGO WA BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Na Oscar Assenga,TANGA.
'
Zaidi ya wananchi 20,000 kutoka kaya masikini mkoani Tanga wameanza
kunufaika na mpango wa Bima ya Afya kwa Wote, unaolenga kub...
13 hours ago
No comments:
Post a Comment