Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA KUPITIA VISIMA VYA UMWAGILIAJI
-
Njedengwa - Dodoma 📍
SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija katika
kilimo baada ya kusambaza pampu za Umwagiliaji kwa vikun...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment