Ndg wadau,
Wizara ya Elimu na mafunzo ya Ufundi wiki iliyopita ilitoa miongozo mipya [Sylabus] kwa ajili ya kufundishia katika vyuo vya Ualimu kwa ngazi zote za cheti na stashahada.Ili kupata miongozo hiyo Bonyeza HAPA.
Imeandikwa na John J. Malata
wanazuoni yahoogroups
Rais Samia akutana na kuzungumza na Viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki
Tanzania (TEC)
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, akizungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania
(TEC), Iku...
19 hours ago
No comments:
Post a Comment