
Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
Acheni Kutangaza Watu, Tangazeni Nchi - Makonda
-
Na Immaculate Makilika - MAELEZO
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda amewataka
wadau wa sekta ya habari kubadili ajenda ya kut...
52 minutes ago
No comments:
Post a Comment