
Historia ya South Africa haiwezi kukamilika bila kumtaja mtu huyu.Na ndio maana huwezi kuingia Chuo kikuu cha Sokoine bila kukutana na Picha hii na maelezo haya katika geti la kuingilia chuoni hapo.Nafikiri tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu mtu huyu.Wengi wetu huwa tunapita hapo pasipo hata kujua mtu huyu hasa ni nani na alifanya nini katika kupigania uhuru wa nchi yake.
TTCL YAWEKA INTANETI YA KISASA AMANI RESIDENCY KIZIMKAZI
-
Na Mwandishi Wetu - Zanzibar
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za
Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment