Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
MAONESHO YA KILIMO NA UFUGAJI KANDA YA KASKAZINI YAONGEZA UBORA, WAKULIMA
WAHIMIZWA KUTUMIA TEKNOLOJIA
-
Na Vero Ignatus, Michuzi TV Arusha
Maonesho ya siku kuu ya Wakulima Nanenane Kanda ya Kaskazini yamehitimishwa
mkoani Arusha, yakihudhuriwa na zaidi ya wan...
12 hours ago



No comments:
Post a Comment