Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
DC KIBITI ABANA VIKUNDI CHECHEFU, AAGIZA MAJINA YAWASILISHWE HARAKA
-
MKUU wa Wilaya ya Kibiti, Kanali Joseph Kolombo ameitaka Idara ya Maendeleo
ya Jamii kuwasilisha majina ya vikundi vyote ambavyo havijarejesha mikopo
ya as...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment