Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
BENDERA ZA CHADEMA ZIKIPEPEA KWA MADAHA KUFURAHIA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS
CCM…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Njombe
KUNA mambo yanaleta raha Kiasi kwamba hata wale ambao hawana nafasi ya
kuzungumza basi hutumia mbinu mbalimbali kufikish...
46 minutes ago
No comments:
Post a Comment