Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
Wanawake Kupata Hati Miliki Kupitia Samia Ardhi Kliniki
-
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetangaza kuanza kwa
kampeni maalum ijulikanayo kama “Samia Ardhi Kliniki” itakayofanyika katika
mikoa yo...
1 hour ago



No comments:
Post a Comment