Aliyekuwa mwenyekiti wa sekretarieti ya wakufunzi waliohudhuria kozi ya ICDL kituo cha Mpwapwa Ndg.Kidumu J.O akitoa muhtasari wa mafunzo hayo kabla ya kumkaribisha mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa Ndg Jumbani kuhitimisha mafunzo.
Hapa mkuu wa chuo cha Ualimu Mpwapwa ndg Jumbani akitoa mawaidha siku ya kuhitimisha mafunzo ya ICDL kwa wakufunzi waliokuwa kituo cha mpwapwa
MSD YAIHAKIKISHIA KAMATI YA BUNGE UBORA WA HUDUMA KATIKA UTEKELEZAJI WA
BIMA YA AFYA KWA WOTE
-
Bohari ya Dawa (MSD) imeihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na
Masuala ya UKIMWI kuwa itaendelea kuimarisha upatikanaji wa bidhaa za afya
zenye u...
2 hours ago



No comments:
Post a Comment